Meal Seç / Sure Seç

AL - QADR Suresi

(SWAHILI) QURAN


97 - AL - QADR
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
        
1. Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani katika Laylatul Qadri, Usiku wa Cheo Kitukufu.
2. Na nini kitacho kujuulisha nini Laylatul Qadri?
3. Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.
4. Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo.
5. Amani usiku huo mpaka mapambazuko ya alfajiri.
KURAN uygulamasını telefonunuza siz de yükleyin: