(SWAHILI) QURAN SURE SEÇİNİZ
(SWAHILI) QURAN |
| 113 - AL - FALAQ |
| KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. |
|
| 1. | Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, |
| 2. | Na shari ya alivyo viumba, |
| 3. | Na shari ya giza la usiku liingiapo, |
| 4. | Na shari ya wanao pulizia mafundoni, |
| 5. | Na shari ya hasidi anapo husudu. |