(SWAHILI) QURAN SURE SEÇİNİZ
(SWAHILI) QURAN |
| 105 - AL - FIIL |
| KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. |
|
| 1. | Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo? |
| 2. | Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika? |
| 3. | Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi, |
| 4. | Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni, |
| 5. | Akawafanya kama majani yaliyo liwa! |