(SWAHILI) QURAN SURE SEÇİNİZ
(SWAHILI) QURAN |
| 110 - ANNAS'R |
| KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. |
|
| 1. | Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, |
| 2. | Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, |
| 3. | Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. |