(SWAHILI) QURAN SURE SEÇİNİZ
![]() ![]() (SWAHILI) QURAN |
102 - AT-TAKAATHUR |
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. |
![]() ![]() ![]() ![]() |
1. | Kumekushughulisheni kutafuta wingi, |
2. | Mpaka mje makaburini! |
3. | Sivyo hivyo! Mtakuja jua! |
4. | 4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua! |
5. | Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini, |
6. | Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu! |
7. | Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini. |
8. | Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema. |