Meal Seç / Sure Seç

QURAISH Suresi

(SWAHILI) QURAN


106 - QURAISH
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
        
1. Kwa walivyo zoea Maqureshi,
2. Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
3. Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
4. Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
KURAN uygulamasını telefonunuza siz de yükleyin: